Ubalozi wa Tanzania Nchini Namibia Wazindua Mfumo wa Kisasa wa Maktaba wa KOHA
Leo tarehe 2 Juni 2026, Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Namibia umefanya hafla fupi ya makabidhiano rasmi ya mfumo wa usimamizi wa maktaba wa KOHA uliosimikwa kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Namibia… Read More








